Maelfu
ya Wakazi wa Mji wa Mbeya wakisalimiana kwa Shauku na Rais Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa
Songwe mjini Mbeya tayari kuongoza sherehe za Mei mosi zinazofanyika
mkoani huko kesho(picha na Freddy Maro)
No comments:
Post a Comment