
Mhe. Dkt Mohammed Ally Billal makamu wa Raisi akiwa na wazazi wa waziri mkuu Mhe. Mizengo Peter Pinda nyumbani kwao Kibaoni taraafa ya Mpimbwe jana
Mhe. Dkt Mohammed Ally Billal Makamu wa Raisi akiwa na viongozi wa Mkoa wa Rukwa pamoja na wazazi wa Waziri mkuu Mhe. Mizengo Peter Pinda nyumbani kwao Kibaoni taraafa ya Mpimbwe
Mhe. Dkt Mohammed Ally Billal Makamu wa Raisi akiwa na viongozi wa Mkoa wa Rukwa wakielekea kukagua shamba la mizinga ya nyuki ya kisasa la Waziri mkuu likiwa kama shamba darasa kwa Wananchi
Makamu wa Rais akiangalia shamba la
nyuki la Waziri Mkuu nyumbani kwake Kibaoni. alifurahia kazi hiyo
na kusema kuwa atahakikisha naye anafuga nyuki kwani faida zake ni niyngi
No comments:
Post a Comment