Friday, April 12, 2013

Ugaidi walivuruga Bunge



bunge 77749
Dodoma. Spika wa Bunge, Anne Makinda jana ni kama aliruhusu mvutano wa wazi baina ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wale wa Chadema ambao kila upande uliutuhumu upande mwingine kwa kuhusika kwa viendo vya ugaidi.
Licha ya kutozungumzia suala hilo moja kwa moja, lakini msingi wa tuhuma hizo ni kesi iliyofunguliwa mahakamani dhidi ya Mkurugenzi wa Usalama wa Chadema, Willifred Lwakatare ambaye anakabiliwa na makosa yanayomtuhumu kwa ugaidi.

No comments:

Post a Comment