Tuesday, September 4, 2012

Hii Ndiyo Mandhari Ya Bandari


Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama (Troika) ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) akimuonesha   Rais Armando Guebuza wa Msumbiji mandhari ya Bandari ya Dar es salaam kutoka  katika hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency,  baada ya kuwasili leo Septemba 3, 2012  tayari kwa mkutano wa Troika ya SADC unaotarajiwa kufanyika kesho Septemba 4, 2012 hotelini hapo na kuhudhuriwa na viongozi wa nchi wajumbe wa Asasi hiyo ambao ni Msumbiji ambao ni Mwenyekiti wa sasa wa SADC, Afrika Kusini aliyekuwa Mwenyekiti wa Asasi hiyo kabla ya Tanzania,  Namibia ambao ni Makamu Mwenyekiti wa Asasi hiyo ya Troika, pamoja na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambao ni wageni waalikwa.

                                    PICHA NA IKULU



No comments:

Post a Comment