Sunday, February 19, 2012

WANANCHI WA MPANDA WAJITOKEZA KWA WINGI KUMLAKI KIONGOZI WAO MAKAMU WA RAIS DKT. MOHAMMED GHARIB BILLAL


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Billal akihutubia umati wa wananchi wa Mpanda katika uwanja wa Kashaulili uliopo katika wilaya hiyo.



wanananchi wa mpanda wakiwa juu ya miti katika uwanja wa ndege mjini mpanda wakimsubiri kumlaki makamo wa Raisi Mh. Dkt. Mohammed Ally Billal

Wengine wakaona juu ya miti ndio mahala murua kwao kumuona kiongozi wao uso kwa uso bila ya chenga, japo usalama kwao ulikuwa mdogo.



Muitikio wa wananchi kumuona kiongozi wao Makamu wa Rais ulikuwa mkubwa kwani walihudhuria mamia kwa mamia katika mikutano ya hadhara. Hapa ni katika uwanja wa Kashaulili uliopo Mji Mpanda.

Sehemu ya umati wa wananchi wakisubiri kusikiliza hotuba ya Mgeni Rasmi ambaye ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Billal Inyonga Leo.

No comments:

Post a Comment