Monday, April 8, 2013

Mazishi Ya Jaji Mstaafu E.L Mwipopo


h 161 66918
Mh Jaji  kiongozi mahakama kuu Fakih Jundu akitoa salamu.
003 ae049
Mpiganaji wa Mjengwa Blog na Kwanza Jamii, Lukelo Mkami Mwipopo ambaye ni mtoto wa mdogo wa Marehemu,  Marehemu Ben Mkami Mwipopo akisalimiana na watoto wa marehemu mara baada ya mwili wa marehemu kuwasili kijijini Ibatu wilayani Mufindi tayari kwa mazishi
004 4ed11

Mjane wa marehemu Jaji mstaafu akifarijiwa ndugu zake walipo wasili na mwili wa Marehemu Kijijini Ibatu
h 168 e9f94Mmoja wa majaji walioshiriki mazishi akiaga kwa mwili wa marehemu
h 325 99169Askari wakitoa heshima mbele ya kwa kupiga risasi ewani baada ya kukamilisha kuweka mwili wa marehemu kwenye nyumba yake ya milele
MAJAJI 280 f1f84Waheshimiwa majaji wakitoa jeneza la Marehemu tayari kwenda kusaliwa katika eneo liliondaliwa kwa ibada
MAJAJI 289 ee4c2
MAJAJI 292 a430b
Sehemu ya watu walioshiriki ibada ya kumuombea marehemu
MAJAJI 297 1590aKatibu mkuu kiongozi mstaafu Philemon Luhanjo(kushoto) akifuatilia misa ya kumuombea marehemu 

No comments:

Post a Comment